WINGA SENEGAL AISHUTUMU CAF

Winga wa timu ya Taifa ya Senegal, Krepin Diatta ameibua hoja ya rushwa akiwatuhumu waandaaji wa mashindano ya AFCON Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kuwadhulumu haki yao kwenye mchezo wa hatua ya (16) Bora dhidi ya wenyeji wa Mashindano hayo Ivory Coast na kuwapa upendeleo wenyeji.

“Mmetudhulumu, mashindano yamejaa rushwa bakini na Kombe lenu” alisema Diatta, Hii ni baada ya Ivory Coast kupata penati dakika za mwishoni ,penati iliyoamuliwa na VAR, Hata hivyo mchezaji huyo anaweza kukutana na adhabu kutoka CAF kwa kuwatuhumu kuendesha mashindano kwa rushwa.

Diatta

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI