WAZIRI WA MICHEZO IVORY COAST ADAI PACOME HAWAMJUI

Waziri wa michezo nchini Ivory Coast amesema hajui kama mchezaji Pacome Zouzoua anakiwasha kwa kiwango cha kuogopesha kwenye ligi ya Tanzania. Ndio maana hajashangaa kutomuona kwenye timu ya taifa.

Hayo ameyasema alipozungumza na waziri Dr. Damas Ndumbaro alipomuuliza (kwa utani)- Kwanini nyota huyo wa @yangasc hajajumuishwa kwenye kikosi cha taifa?


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI