WACHEZAJI WATATU NIGERIA WADAIWA KUTUMIA DAWA ZA KUONGEZA NGUVU DHIDI YA CAMEROON

Zaidi ya wachezaji 3 Wa timu ya Taifa ya Nigeria akiwemo Victor Osimhen watafanyiwa vipimo vya Afya baada ya kuhisiwa kuwa walitumia dawa za kuongeza Nguvu katika mechi dhidi ya Cameroon Ambapo timu ya taifa ya Nigeria ilipata ushindi Wa magoli 2.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI