SIMBA YAMWANGUKIA CHAMA, YATAKA AREJEE KIKOSINI


Klabu ya soka ya Simba imemtaarifu Clatous Chama kuwa arejee kambini kwaajili ya kutumikia mkataba wake wa miezi mitano uliobaki.

Klabu itazungumza nae kuhusu suala lake la nidhamu kisha itamruhusu aanze mazoezi na wachezaji wenzake

Clatous Chama
.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI