MWAKINYO ATWAA MKANDA WA WBO KWA KO


Bondia kutoka Tanzania Hassan Mwakinyo amefanikiwa kunyakua Mkanda wa WBO baada ya kumtuanga Bondia kutoka nchini Ghana Elvis Ahorgah kwa KO raundi ya 7.

Mwakinyo amefanikiwa kuubeba mkanda huo katika pambano lililifanyika Zanzibar..


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI