MUSONDA KUREJEA YANGA NA MOTO WA AFCON


Mshambuliaji wa Yanga Kennedy Musonda alikuwa na wakati mzuri kwenye michuano ya Afcon 2023 akiwa na kikosi cha timu ya Taifa
ya Zambia

Musonda alipata nafasi ya kucheza katika kikosi cha kocha Avram Grant akianzishwa katika mchezo wa mwisho dhidi ya Morocco, mchezo uliohitimisha ushiriki wa Zambia baada ya kipigo cha bao 1-0

Ni wazi michuano hiyo imemuongezea Musonda ari, morali na kujiamini. Pengine
Wananchi watarajie kuona analeta kasi hiyo katika ligi kuu ya NBC

Yanga imeongeza ushindani eneo la ushambuliaji baada ya kumsajili Joseph Guedo katika dirisha dogo


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI