MUBARAK AMZA AJIUNGA KAGERA SUGAR

Kiungo Mshambuliaji wa Zamani wa Klabu ya Coastal Union ya Tanga, Mubarak Amza Ngamchiya raia wa Cameroon amejiunga na Klabu ya Kagera Sugar ya hapa mkoani Kagera kwa mkataba wa iiaka miwili akitokea klabu ya Ihefu SC kwa uhamisho huru baada ya kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba na klabu hiyo kutoka wilayani Mbarali Jijini Mbeya.

Mubarak Amza amejiunga Kagera Sugar

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI