MAMELOD YANASA KIUNGO WA ORLANDO PIRATES

Klabu ya Mamelodi Sundowns FC imekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji Thembinkosi Lorch (30) kutoka Orlando Pirates FC, Lorch aliyeitumikia Pirates kwa miaka 8 akicheza michezo 176, akifunga magoli 34.

Huu Unakuwa Usajili wa nne kwa "Masandawana" katika dirisha ili Usajili mwezi Januari baada ya kuwasajili Tashreeq Mathew kutoka IK Sirius ya Sweden, Matias Esquivel kutoka Club Atletico Lanus ya Argentina na Zuko Mdunyelwa kutoka Chippa United.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA