KAIZER CHIEF YAFUFUA MATUMAINI YA KUMNASA TSHABALALA

Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini imefufua matumaini ya kumsajili mlinzi wa kushoto wa Simba SC, Mohamed Hussein 'Tshabalala'.

Wababe hao wa Afrika Kusini wanajiandaa kutuma ofa kwenda Simba SC kwa ajili ya mlinzi huyo.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI