IVORY COAST YATOLEWA KWA AIBU AFCON, YAWEKA REKODI TANGU 1984

Baada ya kuondolewa hii leo kwenye Michuano ya AFCON 2023,Ivory Coast anaweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza mwenyeji kupoteza michezo miwili ya hatua ya makundi ya #TotalEnergiesAFCON tangu mwaka 1984.

Ivory Coast leo imepokea kichapo cha mabao 4-0 toka kwa Guinea Ikweta katika mchezo wa mwisho huku ikiwa mwenyeji.

Timu ya mwisho kufanya hivyo pia ilikuwa ni Timu ya Taifa ya Ivory Coast 


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI