IDRIS MBOMBO ATUA NKANA RED DEVILS

Aliyekuwa Mshambuliaji wa Klabu ya Azam FC, Idris Mbombo Amejiunga na Klabu ya Nkana Red Devil FC ya Zambia kwa Mkataba wa Mwaka Mmoja kwa Uhamisho huru,

Hii ni baaada ya Nyota huyo raia wa DR Congo Kufikia Makubaliano ya kuvunja Mkataba wa Miezi Sita uliosalia Baina yake na Azam FC.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA