GUINEA YAICHAKAZA EQUATORIAL GUINEA LALA SALAMA

Dakika za jioni kwbisa zimeifanya Guinea kutinga robo fainali ya kombe la mataifa Afrika, AFCON baada ya kuilaza Equitorial Guinea bao 1-0 katika mchezo wa hatua ya 16 bora.

Bao pekee lililofungwa dakika ya 90+8 na Mohamed Lamin Bayo limeifanya timu hiyo kuisubiria Misri au DR Congo ambazo baadaye zitashuka uwanjani.

Jana usiku Nigeria iliilaza Cameroon mabao 2-0 na kutinga robo fainali, saa 5 usiku Misri itaumana na DR Congo


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI