DITRAM NCHIMBI AIBUKIA LIGI KUU RWANDA

Nyota wa zamani wa Polisi Tanzania, Young Africans na Taifa Stars Ditram Nchimbi 'Duma' amejiunga na Klabu ya Etincelles FC inayoshiriki Ligi Kuu nchini Rwanda kwa mkataba wa nusu msimu hadi June 2024.

Mshambuliaji huyo anajiunga na Etincelles Club kama mchezaji huru baada ya kusitishwa kwa mkataba wake na FGA Talents FC ya Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara, Nchimbi amewahi kutamba pia na Vilabu vya Majimaji FC, Mbeya City, Njombe Mji na Polisi Tanzania.

Ditram Nchimbi

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI