CAF YAKOSOLEWA KISA KISWAHILI

Mtandao wa African Football Greats imetoa taarifa kuwa CAF imekosolewa baada ya kumzuia kocha na nahodha wa Tanzania, Mbwana Samatta, kutumia lugha ya Kiswahili kwenye mikutano ya waandishi wa habari, wameagiza kuwa lugha zinazotakiwa kutumika ni Kifaransa, Kingereza, Kireno na Kiarabu.

Mbwana Samatta

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI