BALEKE AENDE LIBYA KWA MKOPO

Mshambuliaji wa zamani wa Simba SC, Jean Othos Baleke (23) amejiunga na Al Ittihad ya Libya kwa Mkopo wa mwaka mmoja hadi Januari 30, 2025, Baleke alieifungia Magoli (8)

Msimu huu akiwa na Simba amejiunga na Al Ittihad baada ya kuachana na Simba SC na kumrudisha TP Mazembe ambapo imemtoa tena kwa mkopo mwingine.

Jean Baleke amesajiliwa kwa mkopo Libya


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI