ZAMALEK YAWAPELELEZA PACOME, NZENGELI


Klabu ya Zamalek itatuma maafisa wake nchini Algeria katika mchezo wa CR Belouizdad dhidi Yanga kwaajili ya kuwafuatilia kwa karibu Pacone Zouzoua na Maxi Nzengeli.

Taarifa kutoka gazeti la Championi zinaeleza kuwa Maafisa hao inaarifiwa kuwa watatua pia Tanzania kuendelea kuwafuatilia wachezaji hao watakapokuwa wanacheza michezo ya kimataifa pekee katika michezo ya nyumbani ya Yanga..


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI