YANGA YAPIGWA FAINI YA MIL 5

Klabu ya Yanga imetozwa faini ya Shilingi 5,000,000 (milioni tano) kwa kosa la kuingia uwanjani kwa kupitia mlango usio rasmi katika mchezo wa Derby ya Kariakoo uliowakutanisha Simba na Yanga kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa Novemba 5, 2023.

Klabu ya Simba imetozwa faini ya Sh. 1,000,000 (milioni moja) kwa kosa la wachezaji wake kuchelewa kutoka nje ya chumba cha kuvalia, jambo lililosababisha mchezo huo kuchelewa kuanza kwa dakika nne (4).


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI