YANGA NA WHIZPAY YAINGIA MKATABA MNONO


Klabu ya Yanga imeingia Mkataba na Kampuni ya Whizpay Technology LLC yenye Makao Makuu yake huko Abu Dhabi,Dubai kwaajili ya kutangaza kwenye mechi zao za Klabu Bingwa kampuni yao tanzu ya Whizmo ambayo inashughulika na huduma za kifedha kutoka UAE na duniani kote.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI