YANGA NA WHIZPAY YAINGIA MKATABA MNONO


Klabu ya Yanga imeingia Mkataba na Kampuni ya Whizpay Technology LLC yenye Makao Makuu yake huko Abu Dhabi,Dubai kwaajili ya kutangaza kwenye mechi zao za Klabu Bingwa kampuni yao tanzu ya Whizmo ambayo inashughulika na huduma za kifedha kutoka UAE na duniani kote.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI