YANGA IMEKAMILISHA USAJILI- ALI KAMWE

Msemaji wa Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara YOUNG AFRICANS Ally Kamwe amesema timu hiyo tayari imekamilisha kwa kiwango kikubwa usajili wa wachezaji wanaowahitaji katika mlango wa dirisha dogo.

Ally Kamwe amewafahamisha mashabiki wa soka na wanazi wa klabu hiyo kuwa klichobaki ni kusubiri wakati ufike ili kuwatangaza wachazaji hao wapya ambao hakuja idadi yao, timu wanazotoka wala nchi.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI