SIMBA YAFUNGIWA KUSAJILI

Klabu ya Simba imefungiwa kusajili mpaka itakapolipa madai ya klabu ya Teungueth ya Senegal kuhusu mauzo ya mchezaji Pape Sakho.

Uamuzi huo umefanywa na Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) mara baada ya klabu hiyo kushinda kesi ya madai dhidi ya Simba kutokana na mauzo ya nyota huyo.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI