MAKUBWA! SIMBA YAWAGEUKIA MAX, AZIZ KI

Na Salum Fikiri Jr

Klabu ya SIMBA imeonesha nia ya kuwataka viungo hatari zaidi kwenye ligi ya Tanzania Max Nzengeli na Aziz Ki

Simba wanaangalia uwezekano wa kumpata Aziz Ki ambaye anamaliza mkataba wake mwishoni mwa msimu

Lwa upande wa MAX Simba walizani yupo kwa mkopo hivyo walijaribu kuongea na klabu yake ya zamani lakini walijibiwa kua ashauzwa kwa YANGA hivyo kama wanamtaka wanatakiwa wakaongee na YANGA... Ngoma ndo imekua ngumu hapo


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI