KOCHA USM ALGER AWA KOCHA MKUU SIMBA

Kocha mpya wa Simba, Abdelhak Benchika aliiongoza USM Alger kuchuka Kombe la Shirikisho baada ya kuifunga Yanga, pia aliiongoza USM Alger kuchukua CAF Super Cup baada ya kuifunga Al Ahly.

Pia amezifundisha Raja Casablanca, RS Berkane, CR Belouizdad, Club Africain.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI