KIPA WA TAIFA STARS AULA SWEDEN

Golikipa mwenye asili ya Tanzania,Kwesi Kawawa amejiunga na klabu ya Orebro Syrianska IF inayoshiriki ligi daraja la kwanza nchini Sweden akitokea Hammarby Talang.

Kipa huyo alisimama langoni wakati Taifa Stars ilipolala kwa mabao 2-0 dhidi ya Morocco katika uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam mchezo wa kufuzu kombe la dunia


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI