INJINIA HERSI AWA RAIS WA VILABU AFRIKA

Na Prince Hoza

Rais wa Klabu ya Yanga, Eng. Hersi Said amechaguliwa kuwa RAIS wa kwanza wa Chama cha Vilabu vya Afrika (ACA) huku Makamu wake akiwa ni Jesca Moutang Kutoka Kaizechief Ya Africa Kusini .

Makao Makuu Ya Chama Yatakuwa Nairobi Nchini Kenya .

Mkutano wa kuanzishwa chombo hicho umefanyika Leo jijini Cairo nchini Misri na Hersi anakuwa Rais wa kwanza kwenye historia ya taasisi hiyo.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI