HUYU NDIO MSANII MPYA WCB

Staa wa Singeli, D Voice Ginnii anakuwa msanii wa nane kutambulishwa na WCB Wasafi, Record Label yake Diamond Platnumz.

Utakumbuka awali WCB iliwatambulisha Harmonize, Rayvanny, Queen Darleen, Rich Mavoko, Lava Lava, Mbosso na Zuchu.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI