BALEKE KUSALIA MSIMBAZI

Na Salum Fikiri Jr

Klabu ya Simba ipo kwenye hatua za mwisho za kumuongeza kandarasi Jean Baleke ambaye mkataba wake wa mkopo kutoka TP Mazembe unaelekea ukingoni.

Makubaliano kati ya Simba na TP Mazembe ni kuwa Simba itamuongezea kandarasi ya kudumu Jean Baleke ana sio kusaini mkataba tena wa mkopo kutoka TP Mazembe

Klabu ya Simba tayari imeshaandaa kiasi cha Milioni 420 Tsh! Kama ada ya uhamisho wa Jean Baleke kutoka klabu ya TP Mazembe ya nchini DR Congo.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI