AYOUB LAKRED KICHEKO UJIO WA BENCHIKHA SIMBA

Ayoub Lakred ni moja ya wachezaji wenye furaha zaidi katika kikosi cha @simbasctanzania baada ya ujio wa kocha mpya Abdelhak Benchika .

Golikipa huyu mtoa michomo leo ameonekana akifanya mazoezi kwa juhudi kubwa huku akiwa na tabasamu muda wote .....Ni wazi ujio wa Benchika umemfurahisha sana Golikipa huyu .

Mwamba ataendelea kulinda lango la Simba wakiwa ugenini dhidi ya Jwaneng Galaxy .....wakati Manula anaendelea kuuguza majeraha yake .


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI