ASHA MASAKA ASHANGAZA HUKO ULAYA

Mshambuliaji wa zamani wa Yanga Princess ya Tanzania na pia mchezaji wa timu ya taifa ya Tanzania, Twiga Stars Aisha Masaka amekuwa mchezaji wa kwanza mwanamke kucheza timu mbili za UEFA CL, dhidi ya Paris FC na Madrid.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI