YANGA YAIEKEA KIKAO KIZITO SIMBA

Kamati ya Utendaji Young Africans SC chini ya Rais wetu Hersi Ally Said leo tarehe 25.10.2023 wamekaa kikao cha pili cha kikatiba kwa mwaka 2023 katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam na kuzungumzia mambo mbalimbali ya kimaendeleo kwa Klabu yetu.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI