WCB KUTAMBULISHA MSANII MPYA

Records Label ya WCB Wasafi ipo mbioni kumtambulisha msanii mpya ambaye ana kipaji kikubwa, hiyo ni kwa mujibu wa Diamond Platnumz.

"Licha ya ukubwa wa Project zote zilizo ndani Wasafi, ila kiukweli moja ya Project ambayo niko nayo very excited ni kumtambulisha huyu Msanii mpya wa Wasafi, itoshe kusema Tanzania ina vipaji." ameandika Diamond X.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI