STARS YAZINDUA JEZI ZAKE MPYA

Shirikisho la Soka nchini (TFF), limetambulisha jezi mpya zitakazotumika na timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars).
.
Jezi hizo za aina tatu, ambayo ya nyumbani (Home kit) yenye rangi ya bluu, ya ugenini (Away Kit) yenye rangi ya njano na bluu, pamoja na jezi ya tatu (Third Kit) yenye rangi nyeusi na kijani.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI