SIMBA YAIGOMEA AHLY LAKINI YATUPWA NJE

Bao lililofungwa na kiungo mkabaji Sadio Kanoute wa Simba SC na Kahraab wa Al Ahly usiku wa leo limetosha kuzilazimisha timu hizo kufungana bao 1-1 katika mchezo wa marudiano wa michuano mipya ya African Football League mjini Cairo nchini Misri.

Hiyo ni sare ya pili kwa miamba hiyo jumla zimefungana 3-3 lakini Simba inaaga michuano hiyo kwa faida ya goli la ugenini kwani katika mchezo wa kwanza uliofanyika Dar es Salaam zilifungana 2-2, sasa Ahly itakutana na Mamelod Sundowns ya Afrika Kusini katika hatua ya nusu fainali


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI