NAMUNGO YAPELEKA MSIBA CHAMAZI

Bado hali si shwari kwa wanalamba lamba wa mitaa ya Chamazi, Azam FC baada ya usiku huu kupokea kichapo cha mabao 3-1 toka kwa Namungo FC ya Ruangwa katika mfululizo wa Ligi Kuu bara.

Hiki ni kipigo cha pili mfululizo kwani mapema tu ilitoka kufungwa mabao 3-2 na Yanga SC, mabao ya Namungo yamefungwa na Pius Buswita dakika ya 10, Hashim Manyanya dakika ya 19 na Reliants Lusajo dakika ya 49, goli pekee la Azam limefungwa na Ayoub Lyanga dakika ya 70


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI