MTANZANIA APIGA BONGE LA GOLI SERBIA

Beki wa Kimataifa wa Tanzania Alphonce Mabula hapo jana alifunga goal moja wakati klabu yake ya Fk Novi Sad ikipoteza mchezo kwa mabao 2-1 dhidi ya Sloboda katika mchezo wa ligi Daraja la kwanza nchini Serbia.

Hili ni bao lake la 2 katika michezo minne aliyocheza tangu ajiunge klabuni hapo.

Mabula anacheza Ligi moja na Mshambuliaji wa zamani wa Klabu ya Simba,Dejan Georgejivc


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI