IBRAHIM BAKA AREJEA KMKM

Beki kisiki wa timu ya taifa Tanzania (Taifa Stars) na timu ya taifa ya Zanzibar na klabuya Young Africans SC Ibrahim Baka akiwa na wachezaji pamoja na viongozi wa tumu yake ya zamani KMKM SC mara baada ya kumalizika kwa mchezo dhidi ya KVZ FC, ambaouliomalizika kwa KMKM kuwafungo KVZ 2-0 huku KMKM ikiwa pungufu.

Baka aliamua kuwatembelea KMKM timu ambayo ilimtoa kisoka kabla ya kutua Yanga, mchezaji huyo atashiriki kwenye mchezo wa Jumapili dhidi ya Simba utakaofanyika uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI