DJUMA SHABANI KUONDOKA NA WAWILI AZAM FC

Dirisha dogo la usajili klabu ya Azam itaachana na wachezaji wake wawili (Majina kapuni) ili kupisha maingizo mapya kikosini hapo.

Ingizo la kwanza ni la Djuma Shaaban raia wa Congo DRC ambaye tayari anafanya mazoezi na nyota wengine wa Azam.

Aidha Mlinda mlango wa Tabora United John Noble raia wa Nigeria ambaye alijiunga na nyuki akitokea Enyimba ya Nigeria anatajwa huenda akajiunga na Azam dirisha dogo la usajili kama mipango itaenda sawa.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA