CAF AWARDS 2023 SASA NI DESEMBA 11

Baada ya juzi kushuhudia usiku wa Ballon d'Or sasa ni muda wa Tuzo za Wachezaji wa Soka Barani Afrika, kupitia ukurasa wa Instagram.

Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limeutangaza usiku wa Desemba 11, 2023 kuwa ndiyo utakuwa maalumu kuwapa tuzo waliofanya vyema kwenye soka mwaka huu.



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI