SIMBA WAJIFUA VIKALI KUIUA POWER DYNAMOS

Kikosi cha wachezaji wa Simba SC wanaendelea kujiandaa, kujipima na kuangalia wapi kuboresha kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. 

Kikosi hicho kinajifua katika uwanja wake wa Mo Simba Arena uliopo Bunju B nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI