NYOTA YANGA KAMILI KUIVAA EL MERREIKH

Wachezaji wa Kikosi cha Yanga wameanza mazoezi ya kujiandaa na Mchezo wa marudiano wa Kufuzu hatua ya Makundi ya #CAFChampionsLeague dhidi ya El Mereikh ya Sudan utakaopigwa Septemba 30,2023 kwenye Uwanja wa Chamazi kuanzia saa moja kamili jioni.

Beki wao wa kushoto,Joyce Lomalisa amepona maumivu aliyoyapata kwenye Mechi ya Yanga dhidi ya Namungo FC na yupo fit kwaajili ya kuwatumikia Wananchi.

.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI