MAJOGORO AWA MCHEZAJI BORA SAUZI


Mtanzania Baraka Majogoro (26) hapo jana aliibuka Mchezaji bora wa mechi ya Ligi Kuu ya Afrika Kusini πŸ‡ΏπŸ‡¦ wakati timu yake ya Chippa Utd ikiibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Super Sport Utd.

Chippa Utd bila Majogoro
🀝 Kaizer Chiefs 0-0 Chippa Utd
🀝 Chippa Utd 0-0 Ts Galaxy
🀝 Chippa Utd 1-1 Orlando pirates
❌ Chippa Utd 0-2 Mamelodi

Chippa wakiwa na Majogoro
✅ Cape Town Spurs 0-1 Chippa Utd (90')
❌ Chippa Utd 2-3 Royal AM (90')
✅ Richards Bay 1-2 Chippa Utd (90')
✅ Chippa Utd 1-0 Super Sport (90')


Chippa Utd wanashika nafasi ya 4️ kwenye Msimamo wa Ligi Kuu ya Afrika Kusini wakiwa na alama 12 katika mechi 8️ walizocheza hadi sasa.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI