KOCHA EL MERREIKH AKIRI WATAPATA USHINDI DHIDI YA YANGA


"Young Africans SC ni miongoni mwa timu zinazoogopwa kwa sasa Barani Africa. Sisi Al-Merrikh tutawaheshimu lakini hatutakaa nyuma, kama Yanga waliweza kupata magoli mawili ugenini hata sisi tunaweza kupata magoli mawili ugenini, Dar es Salaam."

Osama Nabieh,Kocha wa klabu ya Al-Merrikh


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI