KOCHA EL MERREIKH AKIRI WATAPATA USHINDI DHIDI YA YANGA


"Young Africans SC ni miongoni mwa timu zinazoogopwa kwa sasa Barani Africa. Sisi Al-Merrikh tutawaheshimu lakini hatutakaa nyuma, kama Yanga waliweza kupata magoli mawili ugenini hata sisi tunaweza kupata magoli mawili ugenini, Dar es Salaam."

Osama Nabieh,Kocha wa klabu ya Al-Merrikh


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA