YANGA KUANZIA UGENINI LIGI YA MABINGWA

Na Ikram Khamees

Taarifa njema kwa Mashabiki wa Yanga ni kuwa mchezo wao unaofuata wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Merreikh wataanzia ugenini kisha kumalizia nyumbani.

Klabu ya Al Merreikh wanatumia mechi zao za nyumbani katika nchi ya Rwanda  hivyo Yanga wataenda Rwanda kisha kumalizia Tanzania.



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI