YANGA KUANZIA UGENINI LIGI YA MABINGWA

Na Ikram Khamees

Taarifa njema kwa Mashabiki wa Yanga ni kuwa mchezo wao unaofuata wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Merreikh wataanzia ugenini kisha kumalizia nyumbani.

Klabu ya Al Merreikh wanatumia mechi zao za nyumbani katika nchi ya Rwanda  hivyo Yanga wataenda Rwanda kisha kumalizia Tanzania.