WANGEBAKI WCB WANGEKUWA MBALI ZAIDI- MKUBWA FELLA


Mkubwa Fella amesema Baada ya Harmonize na Rayvanny kutoka WCB wanajitahidi kwa kiasi chake japokuwa siyo kama walivyowatabiria wao, amesema kama wangebakia WCB wangekuwa mbali zaidi ingawa bado hawako nyuma.

Mkubwa ambaye ni Meneja wa WCB ameongeza kuwa Rayvanny anajitahidi zaidi kuliko Harmonize.

Mkubwa Fella
Harmonize
Rayvanny

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI