SIMBA YAACHANA NA BANDA

Mchezaji Peter Banda baada ya kuachana klabu ya Simba Sc, njiani kuhamia FC Kyrvbas.

Mpaka wakati huu mazungumzo yamekamilika kuhusu uhamisho wake Peter Banda.

Anachosubiria ni visa yake ya kusafiri kwenda Ukraine, inaelezwa itakuchukua hadi mwezi mmoja.



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI