SIMBA WAJIFUA VIKALI MO SIMBA ARENA tarehe Agosti 30, 2023 Pata kiungo Facebook X Pinterest Barua pepe Programu Nyingine Kikosi cha wachezaji wa Simba SC kimeendelea kujifua katika uwanja wa Mo Simba Arena uliopo Bunju B jijini Dar es Salaam wakijiandaa na michuano ya Ligi ya mabingwa Afrika.