MAYELE APIGA HAT TRICK UTURUKI

Mshambuliaji mpya wa timu ya Pyramids ya Misri amefunga mabao matatu peke yake hat trick katika mchezo wa kirafiki ambapo Pyramids i
iliifunga mabao 7-0 Varsak ya Uturuki.

Mabao mengine ya Pyramids yaliwekwa kimiani na Abdallah El Said, Mohamed Redaa na Ibrahim Adel


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI