KMC YASHUSHA KIFAA KINGINE KUTOMA SOMALIA


Klabu Ya KMC Imekamilisha usajili wa kiungo wa Horseed Sc ya nchini Somalia.

Abdulkarrim na chama lake la zamani la Horseed Sc walitolewa na APR ya Rwanda katika hatua ya awali ya CAFCL..

Ujio wake ni kutokana na ushawishi wa kocha wa KMC Moalin mwenye asili ya Somalia pia..

KMC wanapika kitu, mtu akiingia 18 zao atapokea kichapo cha kulipa mkono walioupokea kutoka kwa Wananchi Yanga SC


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI