JKU YALIPA KISASI, LAKINI SINGIDA WAMEFUZU RAUNDI YA KWANZA

Na Ikram Khamees

Licha ya kupata ushindi wa mabao 2-0 JKU imeondolewa katika michuano ya kombe la Shirikisho barani Afrika hasa baada ya kufungwa kwa jumla ya mabao 4-3 na timu ya Singida Fountain Gate.

Bahati haikuwa yao vijana wa JKU ambao kipindi cha kwanza walicheza vizuri na kufanikiwa kuongoza mabao 2-0 lakini kipindi cha pili Singida Fountain Gate walibadilika na kuzuia wasifungwe bao la tatu ambalo lingewaondoa mashindanoni.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI