FC BAYERN YAINGIA MKATABA NA VISIT RWANDA


Baada ya PSG, Arsenal, Rwanda sasa imeingia makubaliano na klabu ya Bayern Munich kupitia kampeni yao ya Visit Rwanda kwa mkataba wa miaka mitano.

Ushirikiano huo utajumuisha kuanzisha Academy nchini Rwanda na timu kutoka Rwanda itapata Nafasi ya kushiriki Michuano ya Vijana ya FC Bayern.

Visit Rwanda itaonekana kwenye uwanja, jezi na tovuti za Bayern Munich


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI