WAISLAMU NIGERIA WAMJIA JUU MCHEZAJI WA TIMU YA WANAWAKE KUVUA JEZI

Waumini wa Dini ya kiislamu nchini Nigeria wamelani kitendo cha Mchezaji wa Timu ya Taifa Nigeria Asisat Oshoala baada ya kuvua jezi wakati anashangilia goli alilolifunga dhidi ya Australia kuwa ni kinyume na dini yao.

Waislamu hao wameomba FIFA waifute video hiyo na timu ya Taifa ya Nigeria wapokonywe point 3 na wapewe timu ya Taifa ya Australia.
.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI